welcome note


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Thursday, September 15, 2011

huko studio kunakuwaga hiviiiiii.......

Hapa naiongelea studio ya redio kubwa na inayotambulika Tanzania, Afrika mashariki na hata Africa ya kati pia. Nlibahatika kuwa mshiriki katika vipindi kama viwli mnamo jana nyakati za  jioni katika studio za Redio Free Africa (RFA) zilizopo mjini Mwanza Tanzania. Kipindi kimoja wapo kilikuwa ni Mambo mambo na RFA kinachoanza saa kumi hadi saa kumi mna mbili jioni. Na waendesha kipindi nilikutana nao walikuwa ni Jumaa Ahmed Baragaza ambaye ndo muongozaji mkuu na bibie Husna Mlanzi ambae ni mtangazaji mwenza katika kipindi hicho.


 Jumaa Ahmed Baragaza ndo huyo hapo,


  na huyo ndo bibie Husna Mlanzi

Kipindi hiki cha mambo mambo huwa ni  cha majadiliano ya mada mbali mbali kutegemea na waandaji wa kipindi hicho. Vijistory na vichekesho mbalimbali pia huwepo. Wasikilizaji pia huchangia mada zao kwa simu na hata ujumbe mfupi wa maandishi.


 na ha po ni katika majadiliano hayo kati yao.

Na muziki huwa haukosekanagi jaman ehhhh...........
 hapo ni miziki ya kuitumia,/kuipiga kwenye kipindi hicho ndo yatafutwa, kama hapo ulichaguliwa Dushelele wa Ali Kiba, Starehe Gharama wa Tunda Man, ule mpya mpya wa ki'nigeria unaitwaaaa....ahhh nimeusahau jina mwaya mhhhh


aliekwambia studio hawachezi mziki nani, ahhhhh kitu kikinoga wala hakuna kzuga ni wayarudiiiiiii tani yako..........ale dushelele dushelele  dushele waego ooooo, sijiu ndo hivo, nilim'fotoa huyo bi dada akiyarud kama hivo.


wala sikuwa nyuma katika swala zima la kujifanya nafanya kipindi, but siku moja nitafanya tu......its the matter of time pipo

..... dats all jaman

wakuu wa mikoa Tanzania hawa hapaa....

Hapa kuna wapya waliopandishwa cheo, kuna waliohamishwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine. Uteuzi huu umefanywa na mkuu wa nchi yetu Dk Jakaya Mrisho Kikwete


wakuu wa mikoa wapya 15 walioteuliwa ni hawa hapa na mikoa  wanayokwenda: 

Eng. Ernest Welle Ndikillo - Mwanza
Bw. Magesa Stanslaus Mulongo -Arusha
Bw. Leonidas.T. Gama- Kilimanjaro
Bi. Chiku.S. Gallawa- Tanga
Dk. Rehema Nchimbi - Dodoma
Bw. Elaston Mbwillo - Manyara
Kanali Fabian Massawe - Kagera
Bi. Fatma Abubakari Mwassa - Tabora
Bw. John Gabriel Tupa - Mara
Eng. Stella Manyanya - Rukwa
Bi. Mwantumu Mahiza -Pwani
Bw. Joel Nkya Bendera - Morogoro
Bw. Ludovick Mwananzila - Shinyanga
Bw. Ali Nassoro Rufunga - Lindi
Bw. Said Thabit Mwambungu - Ruvuma.

 Waliobadilishwa mikoa ni wafuatao:
Bw. Abbas Kandoro - Mbeya
Bw. Said Mecki Sadiki - Dar-es-salaam
Lt. Kanali Isaa Machibya - Kigoma
Bi. Christine Ishengoma - Iringa
Kanali Joseph Simbakalia - Mtwara.

 Waliobaki mikoa ile ile ni wafuatao:
Dk. Parseko Ole Kone - Singida.

Waliostaafu ni hawa hapa:

Bw. Mohamed Babu, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kagera
Bw. Isdori Shirima, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha
Kanali mstaaf Anatory Tarimo, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mtwara
Bw. John Mwakipesile, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya
Kanali Enos Mfuru aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Mara
Brig. Jen. Dk. Johanes Balele, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga
Meja Jen. Mst. Said. S. Kalembo, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tanga.

Na waliostaaf lakini watapangiwa vituo vingine vya kazi hapo baadae ni kama wafuatao:

Bi. Amina Mrisho, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Pwani.
Dk. James Msekela , aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma.
Bw, Abeid Mwinyimussa, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora.
Bw.Daniel Ole Njoolay, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Rukwa.

Wakuu wa mikoa hao wapya wa mikoa wataapishwa hapo kesho tarehe 16 Septemba 2011 saa 4.00 asubuhi kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar-es-salaam.


Ahsante kwa wakuu wote waliostaafu na shukrani kwa mchango wa maendeleo mikoani kwetu. Na
Kila la heri wakuu wote wa mikoa, na tunaomba mkaitumikie mikoa yenu kwa haki na usawa huku mkiwezesha maendeleo katika mikoa hiyo. Tunategemea na kusubiri mengi kutoka kwenu.

Wednesday, September 14, 2011

movie of the day..

 everybody's fine



'they all cancelled 
in the last minute
so am going to surprise them
and i hope'

''"everybody's fine"''


Frank Goodie lives by himself in Elmira, New York, a recent widow with a heart trouble, retired from a factory job, proud of having pushed his adult children toward success. In the summer, all four kids bail on a reunion, so against doctor's order, Frank decide to surprise each with a visit. He sets out to see his arts son in New York city, his daughter the ad exec in Chicago, his son the conductor on tour and presently in Denver and his daughter who is a performer in Vegas. None are as he imagines or hopes. Will they let him see themselves as they are and can this dad adopt???????????????






'what are you hiding from me, you and others'??



this December
 a journey he never expected to make 
become exactly what his family needed


stars: Robert De Niro, Kate Beckinsale, Sam Rockwell, Drew Barrymore


'as long as you are happy
a will be proud of you with no matter what you did'

Tuesday, September 13, 2011

breaking newzzzz....Mbeya ndege ndogo yaanguka

Thanxs God wamenusurika na hakuna maafa yametokea katika ajali ilyotokea huko Mbeya Uyole uwanja wa nane nane mishale ya saa tatu asubuhi ya leo.


mfano wa ndege ndogo iliyoanguka huko uyole mbeya

Ni ndege ndogo ya kampuni ya Kapunga Rice company iliyoko Mbarali mkoani Mbeya, ndani ya ndege hiyo
kulikuwa na abiria wapatao watatu ambao ni watanzania na rubani ambae ni M'South Africaakiwa wa nne,, kwa maelezo ya rubani ni kwamba mara baada ya kupaa rubani aligundua injini moja ikiwa na hitilafu na baada ya kushindwa rekebisha akaamua tafuta mahala salama pa kutua ili aweze epuka hasara na maafa makubwa zaidi. Ndipo akafanikiwa tua uwanja wa nane nane Uyole Mbeya.



watu wote waliokuwepo ndani ya ndege hiyo ndogo wako salama salimini japokuwa ni vioo tu kidogo ndo vimepasuka, na  pia ndege hiyo haikulipuka.

J'lo na Bradley Cooper.......???!!!

...... usupa staa kazi jaman mhhh,

 baada ya kuachana na mumewe Mark Antony, mwanadada Jenifer lopez aonekana katika move ambayo watu wanajaribu ielewa kuwa inaelekea kwenye uhusiano wa kimapenzi kwan hawa wawili (Bradley na J lo) wako singo kwa sasa baada ya kuachana na wenza wao


Jennifer Jopez  a.k.a J Lo


Bradley Cooper

hawa wote ni waigizaji maarufu sana tu hapa duniani kote, na wameonekana maeneo kadhaa pamoja na katika pozi za ukaribu ambao ni kama wapenzi hiviii....

--------}wameonekana katika dinner pamoja katika fancy restaurant at New York, jumamosi usiku, wakiwa wenyewe wawili tu, na dinner hiyo was romantic kind of dinner

-------} hata katika  fashion week last year pia walionekana pamoja pia

List of fomer boyfriends wa J lo
---- David Cruz (1984-1995) ,Puff Daddy ( 1999 - 2001),  Ben Affleck (2002-2004), David Cruz

List of former husbands wa J lo
----Ojani Noa (1997- 1998)
----Criss Judd (2001-2002)
----Mark Antony 2004-present)

    swali ni je Bradley Cooper ndo atafata kama mupenzi wa J Lo kwa sasa????!!!!!!!

poleni kwa maafa ya MV SPICE ISLANDER

Mnano alfajiri mwa tarehe 10 hadi leo hii huzuni na majonzi makubwa yameikumba nchi ya Tanzania hasa upande wa  visiwan baada ya kutokea ajali ya meli ya MV SPICE ISLANDER kuzama kutokana na kuzidiwa uzito (mzigo), ajali hiyo ilitokea maeneo ya kijiji cha Nungwi,  meli hiyo   ilikuwa yaelekea Unguja kutokea Dar-es-salaam.


....hapo ikiwa inang'oa nanga kuelekea Pemba na  Unguja.




meli hiyo ilizama hapo kati ya Pemba na Unguja, kama ramani inavyoonyesha.



Na asubuhi ya mnamo tarehe 10 September 2011 hivo ndo ilivokuwa baada ya kutokea kwa ajali hiyo ambayo imeacha majonzi na msiba mkubwa huu nchini kwetu. Wachache waliweza nusurika, wakati mamia wakizama  na kufariki dunia. Asilimia kubwa ya waliozama ni wanawake na watoto ambao walishindwa jiokoa katika hili

   Na mpaka saa hii meli hiyo imeshazama kwenda chini kwa urefu zaidi ya mita 400, wakati huo huo bado kuna  iadi kubwa ya watu waliokuwa wamejifungia vyumbani, vyooni na bado hawajaokolewa.

   Ombi letu kwa waokoaji wafanye jitihada hata waweze toa watu hao huko chini na wazikwe kwa heshima zote kama binadamu wengine pale mwisho wa safari ya maisha yao ukifika.



Mungu awape nguvu wale wote waliopoteza ndugu wazazi, watoto, ndugu,  jamaa na marafiki pia.



My condolesence to you all



Monday, September 12, 2011

afroshiznet: Maswali mengine magumu kama nini??

afroshiznet: Maswali mengine magumu kama nini??
 Jamani maswali mengine magumu tusiwe tunaulizana ulizana, coz yanaboa pia ahhhh..... eti ...
   -- Is there any one who can love you more than you do yourself?
 ----How sure...

..mwanamke maridadi

...hapa naongelea akina dada na wanawake kwa ujumla walio na shughuli mbalimbali za kujenga taifa. Kuanzia wanawake wa ofisini na hata wafanyabiashara pia. Umaridadi ni muhimu sana kuuzingatia kwani siku zote humfanya mtu awe ajisikie comfortabo, relax and awe na  confidence hata katika shughuli zake.


mavadhi nadhifu kwa mwanadada yeyote yule humfanya aonekane maridadi kwa namna moja au nyingine


tena yakiwa simple ndo utajipenda na kupendwa zaidi na hata kuwezesha ufanisi wako wa kazi ipasavyo, si unawaona hao wadada wanshughulika na modeling, na wamevaa kama vile kazi yao ilivo......lukin gud


si unamuona Mwamy Makamba wa Vodacom, nguo yake ni simple na anaendelea na kazi zake tena comfortabo.


dada Dina Marios nae akiwa amependeza vema na huwa tunamsikiza katika kipindi chake cha leo tena clouds FM,  ni mtangazaji mzuri mwenye kuifanya kazi yake kwa ustadi na ufanisi mkubwa ambao humletea mafanikio mwisho wa siku. Ni mtu ambaye huwa nampenda, na hata kumsikiliza hanichoshi, anani'inspire sana  kiukweli


hata mama Kikwete na maremba yake huwa yuko mwake sana tu,  si unamuona hapo akiwa katika kazi zake za kila siku.


 wadada, wamama, be simple and smart siku zote na muda wote ili uweze kuwa comfortable and much relaxed katika kazi zako na mishughuliko yako pia. smartness increase courage and enhance sucess katika kazi zako za kila siku, so go ahead and do your best all  ladies and women out there .



....that's for you all smart ladies and women out there, keep it up and do great pipoz..........mwaaaa

great and successful week

Friday, September 9, 2011

moviez of the weekend

 tunafunga shule leo na movie mbili kali, yaani its furahideeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee......

rendition
        this film is perfect.... 


a system that has changed the rules,
 Basically the government is authorise the transfer of any one they think might be a terrorist to the prison outside of the US,.......prison???
CIA calls it 
"rendition"


  a high paid profession, lived in USA for 20 years, having a family of one wife, a boy and another baby on the way coming, but  you are still Egyptian. Being on a business trip to South Africa, on transit back home he is asked to come with two security guards next thing he is overpowered, hooded, chained and after a brief interrogation he is to be rendered


...My guy and NSA has an assured me that Anwar  never entered US,"he spend 70 dollars during that flight, he was there on that plane" Allen

   sanctioned, kidnap and torture, CIA calls it....


.... i need someone to lok me in the eyes and tell me exactly what is it exactly they say that he does,................. u have my husband just tell me he is ok


Starring: Reese Witherspoon, Jake Gyllenhaal and Peter Sarsgaard





  what if someone you love disappear???



2. don't say a word



when the daughter of a psychiatrist is kidnapped, he is horrified to discover that the abductors demand is that he break through to a post traumatic stress disorder suffering young woman who knows a secret......
"dont say a word"


you are a good psychiatrist, and am sure it wont be a problem for you to do that, JUST MAKE HER GIVE YOU THE NUMBERS.




Stars:  Michael Douglas, Sean Bean, Brittany Murphy




...a thriller to end all thrillers.

great Friday pipozzz

urudiaji wa nguo hasa kwa wanaume

mhh jambo hili mimi binafsi yangu linanikera kweli, hivi inakuwaje mtu anavaa vazi moja frequently from monday to friday, halafu afanyae hivo ni mtu mzima mwenye akili zake timamu kabisaaa tena na cheo kikubwa tu anacho mahala anapofanyia kazi. hivi ianakuwaje jaman, wawezaje??



Tena hayo mashati ndo huwa balaa kabisa kwan huonekana makwapani, mwishoni mwa mikono na mifukoni ndo huwaumbua adi basi, sasa mbaya zaidi ukute shati lina rangi nyeupe, kijivu au rangi zakuonekana uchafu.



Hatukatai kurudia nguo pale ukivaa lakin weka pozi au gap hata la siku moja baada ya kuvaa nguo hiyo. Unaweza kuta mwanaume anavaa shati hilohilo moja monday, tuesday hadi friday, hivi hilo jasho linalokutoka siku ya jumatatu wazan jasho hilo likiendelea had ijumaa wenzako wanaokuzunguka si unawapa kero jaman haaaa.


Tafadhali mpendwa ebu jirekebishe na uwe mtanashati hata kama una mashati mawili, vaa moja j3, jengine vaa j4 wakati la j3 ndo linakauka kambani.




Jamani akina dada, akina mama huko majumbani ebu tuwe chachu katika hili kwa sababu sie ndo twaaibika kupitia viumbe hawa (wanaume). Kama anazingua we akirudi kazini au mihangaiko yake loweka lile shati uone ka atarudia tena na kesho. 

hata we mwanakaka, mwanababa, ebu basi jijali kwanza na uwe msikivu, u'smart si adi usikie kuna tuzo  jaman ehhh, kuwa mtanashati tafadhali.



  Tuwe samart pamoja jaman yaani wake kwa waume ili tuwe maridadi siku zote


 kwa wake


 na hata waume pia, 


   just be simple and very smart, its very important even for your health


umaridadi ni kwa wote, wakubwa kwa wadogo, vijana kwa wazee, wake kwa waume, wakubwa na hata wadogo


take a note and make changes from now, its serious and sensitive

Wednesday, September 7, 2011

chartingholic ugonjwa mbaya sana....

jaman hii imekuwa ni ugonjwa mim naweza uita kwa wengi sana miongoni mwetu, wakubwa kwa wadogo, mabosi kwa wafanyakazi, wazee kwa vijana na wake kwa waume. Sasa me binafsi yangu huwa nauita ugonjwa huu kuwa CHARTINGHOLIC

kuchat huku kunaweza kuwa kutumia simu


hata facebook


na mitandao mingine ya kijamii kama twitter,linked in.tagged, na mingine mingi ijulikanayo.

Sasa ugonjwa huu ulivyo m'baya jaman huwa'attack watu wakiwa sehemu mbalimbali ambapo inakuwa kero na hata si tabia nzuri kwan unaweza kuta inapunguza ufanisi fulani wa kutenda jambo ambalo ni muhimu kufanyika muda ule, kama kazi, maongezi muhimu na hata katika mapenzi pia.


wengine wakiwa ofisini huacha kazi na kucheki facebook chat na akiendelea chat kama hivi


kwa mbali pale si unaona jaman, huyu dada anachat na kile ki'box cha mtu anaechat nae hapo, si mnakiona....


cheki na hao wadada hapo ofisini wanachek na kuchat pia

hadi watoto wakiwa majumbani wakikamata simu za wazazi tu basi hujifunza kuchat pia kama hivi


na huyu mwanadada ameacha kazi kwenye compyuta hapa na akiwa busy na kibofya chake jaman ehhh



ebu mtazame huyo mwanadada jaman ehhhh....


na huyo anatembea lakini macho yote kwenye simu anachat, ikatokea ameanguka hapo ghafla....ehhh




mgonjwa nae akiwa busy charting, na yawezekana muda huo aliambiwa pumzika urudishe afya yako mapema


na hao pia wakiwa wanachat, yaani lile gonjwa la chartingholic lazid endelea tu



 .hao nao barabarani, tena wakiwa na simu 1, haya wakapitiwa na gari hapo na kugongwa itakuwaje???


huyo nae anaongeleshwa na mtu anayehitaji huduma hapo ofisini kwake lakin anamsikiza kama masihala hivi wakati akiendelea chat na simu yake

kuna wengine huwa busy na simu kuchati wakati wametoka outing na marafiki zao na  wapenzi wao, wakati mwingine huwa ni first dates wakati mwingine anaongea, wakuta mwingine anaendelea chat, jaman hii tabia inakera, inaboa, ina'annoy na ni tabia chafu sana. Ebu tuacheni tabia hii jaman,  na tuchati pale tu katika mazingira na wakati muafaka ili isikere wenzetu.

take a note and be careful for your safety
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...